Seminari ya aina mpya kwa Uinjilishaji Mpya
Seminary yetu ni moja kati ya Seminari Redemptoris Mater zaidi ya 120 ulimwenguni kote. Seminari hizi ni tunda la upyaisho ulioletwa na Mtaguso wa Vatikano II, uliovuvia msukumo mpya wa kimisionari katika Kanisa Katoliki lote. Pia ni tunda la Njia ya Neokatekumenato, ambayo ni njia ya malezi ya Kikristo ambayo sisi sote, walezi na waseminari, tunashiriki katika parokia zetu, na katika hiyo tumetambua miito yetu.
Kwa kuwa Njia ya Neokatekumenato inapendekeza upyaisho ya parokia, ni dhahiri kwamba Seminari zilizotoka Njia hii ziwe Seminari za Jimbo, lakini vile vile zenye roho ya Kimisionari na ya kimataifa, kama Roho Mtakatifu alivyovuvia karama hii ya Kanisa.
In order to achieve an overall pastoral solidarity in Africa, it is necessary to promote the renewal of priestly formation. The words of the Second Vatican Council can never be pondered enough: “The spiritual gift which priests received at their Ordination prepares them not for any limited and narrow mission but for the widest scope of the universal mission ‘even to the very ends of the earth.’ (Acts 1:8)”
That is why I have urged priests “to make themselves readily available to the Holy Spirit and the Bishop, to be sent to preach the Gospel beyond the borders of their own country. This will demand of them not only maturity in their vocation, but also an uncommon readiness to detach themselves from their own homeland, culture and family, and a special ability to adapt to other cultures, with understanding and respect for them”.
John Paul II Ecclesia in Africa, 133.
Seminari Redemptoris Mater ya Dar es Salaam iliwekwa rasmi mwaka 2007 na Askofu Mkuu Polycarp Kad. Pengo kwa ajili ya Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Toka hapo, waseminari kutoka mataifa na tamaduni mbalimbali wanapata malezi kuelekea Upadre, na 9 kati yao wameisha maliza malezi yao na wanatumikia Kanisa mahalia.
Walezi
-
Gombera
P. Michele Tronchin
Jimbo la Roma -
Gombera Msaidizi
P. Marek Saran
Jimbo la Roma
Waseminari
Sasa hivi viajana 26 kutoka mataifa 12 tofauti wanajiandaa kuelekea Upresbiteri kwenye Seminari yetu. Wote wametambua mwito wao ndani ya jumuiya ya Neokatekumenato, ambayo ni mchakato wa malezi ya Kikristo iliyotambulika na Mt. Yohane Paulo wa II kama “njia ya malezi ya Kikatoliki, inayofaa jamii na nyakati za siku hizi”:
3 wanamalizia masomo
5 katika utume kama makatekista wasafiri
Mapadre
-
P. Asis Mendoça
Asili: India
Alipadirishwa: 2007
Utume: Parokia Dar es Salaam -
P. José Girón Anguiozar
Asili: Hispania
Alipadirishwa: 2016
Utume: Mlezi seminarini -
P. Eduardo Santos Ramos
Asili: El Salvador
Alipadirishwa: 2017
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Gregory Kijanga
Asili: Tanzania
Alipadirishwa: 2019
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Murivan Brandão
Asili: Brasil
Alipadirishwa: 2019
Utume: Mlezi seminarini -
Jaime Paim
Asili: Angola
Alipadirishwa: 2019
Utume: Catequista itinerante -
Alset Oyubo
Asili: Kenya
Alipadirishwa: 2020
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Jorge Morales
Asili: Chile
Alipadirishwa: 2020
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Roniston Sameneses
Asili: Brazil
Alipadirishwa: 2020
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Denis Mwenda
Asili: Tanzania
Alipadirishwa: 2021
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Gabriel Broubero
Asili: Ivory Coast
Alipadirishwa: 2021
Utume: Parokia Dar es Salaam -
George Uimbia
Asili: Kenya
Alipadirishwa: 2021
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Moses Omondi
Asili: Kenya
Alipadirishwa: 2021
Utume: Parokia Dar es Salaam -
Paulin Macha
Asili: Tanzania
Alipadirishwa: 2021
Utume: Parokia Dar es Salaam
Mashemasi
-
Hamilton Kikoti
Asili: Tanzania
Ushemasi: 2021